- Dr. ISAYA FEBU Newsletter
- Posts
- “Je, una utando mweupe kwenye ulimi?
“Je, una utando mweupe kwenye ulimi?
Inawezekana ni maambukizi ya fangasi aina ya Candida. 🦠
Husababishwa na kinga dhaifu, kisukari, au matumizi ya antibiotiki kiholela💊
Unatibika! ✅ Usipuuzie! ⚠️
Usafi wa Kinywa ni muhimu. 🪥